Al Shabaab militia on Monday night ambushed police officers and burnt their four vehicles in Yumbis.
It is not known whether there we any deaths but officers in Garissa told the Star no deaths occurred.
Police had gone to rescue four cops who were hit by a landmine.
The officers were on their way to Yumbis area of Fafi sub-county when the incident occurred.
Tuesday, May 26, 2015
Monday, May 25, 2015
Deadly Love Triangle
DEADLY LOVE TRIANGLE
A Kenya Police Service officer on Sunday evening shot and killed his colleague and a General Service Unit officer before killing himself at a bar in Kinisa Market in Igembe North, Meru County.
A Kenya Police Service officer on Sunday evening shot and killed his colleague and a General Service Unit officer before killing himself at a bar in Kinisa Market in Igembe North, Meru County.
The
GSU officer, who is a chief inspector, and the female officer were
drinking at the bar when the enraged officer shot at them, killing them
instantly before turning the gun on himself.
The killer
officer, who was based at Laare Police Station, is said to have been
angry at the woman, with whom he claimed he had a relationship before
she left him.
Detectives were Monday morning trying to piece together the events that led to the 11pm incident.
Saturday, May 23, 2015
PANYA WALA BATI
PANYA WALA BATI
(Nimetunga ushairi huu kwa heshima ya marehemu Omar Babu Marjan alituacha wiki jana_Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi)
Malenga nimeshaketi,nimekabidhiwa cheti
Naiongoza kamati,inayotoa ripoti
Nimeshaikunja shati,tayari kula kaimati
Hawa panya wala bati,wanitia hatihati
(Nimetunga ushairi huu kwa heshima ya marehemu Omar Babu Marjan alituacha wiki jana_Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi)
Malenga nimeshaketi,nimekabidhiwa cheti
Naiongoza kamati,inayotoa ripoti
Nimeshaikunja shati,tayari kula kaimati
Hawa panya wala bati,wanitia hatihati
Jombi kapewa kontrakti,na kukatiwa tikiti
Akanunua simiti,na vile vile mabati
Tulidhani kismati,tukamwachia penalti
Hawa panya wala bati,wanitia hatihati
Akanunua simiti,na vile vile mabati
Tulidhani kismati,tukamwachia penalti
Hawa panya wala bati,wanitia hatihati
NIKIPEWA NAPENDELEWA?
NIKIPEWA NAPENDELEWA?
Nineshindwa kujuwa,ni kipi kinachokuchoma
Mambo yangu sawasawa,zamu yako kunisema
Nduguyo ‘mefanikiwa,kwako wewe ni husuma
Ukipewa wastahili,n‘kipewa napendelewa?
Nineshindwa kujuwa,ni kipi kinachokuchoma
Mambo yangu sawasawa,zamu yako kunisema
Nduguyo ‘mefanikiwa,kwako wewe ni husuma
Ukipewa wastahili,n‘kipewa napendelewa?
Mwenzangu wanidhihaki,kwa yale wanitendea
Tangu jadi una chuki,kisasi waniwekea
Utendayo sio haki,laana wajiletea
Ukipewa wastahili,n‘kipewa napendelewa?
Tangu jadi una chuki,kisasi waniwekea
Utendayo sio haki,laana wajiletea
Ukipewa wastahili,n‘kipewa napendelewa?
UREFU WA KUNGUNI
UREFU WA KUNGUNI
Kuna kosa twalifanya, maelezo tukitoa
Watanzania na Wakenya, naomba kuwakosoa
Ndugu yenu nawakanya, umoja sitabomoa
Na urefu wa kunguni, unafika mita ngapi?
Watanzania na Wakenya, naomba kuwakosoa
Ndugu yenu nawakanya, umoja sitabomoa
Na urefu wa kunguni, unafika mita ngapi?
Mgeni akitokea, apatane na mwenyeji
Pengine amepotea, tariki ‘kienda jiji
Dira anayopokea, ni yale hayahitaji
Na urefu wa kunguni, unafika mita ngapi?
Pengine amepotea, tariki ‘kienda jiji
Dira anayopokea, ni yale hayahitaji
Na urefu wa kunguni, unafika mita ngapi?
SITAKI MIKOGO YAKO
SITAKI MIKOGO YAKO
Nachoka kuvumilia, na kwenu sifiki tenaSakafu yenye zulia, pale kwangu mimi sina
Kile unacholilia, sitapata cha thamana
Sitaki yako mikogo, na kwetu twala mihogo.
Kwetu sisi wala tope, jikoni palala paka
Nawewe pakamapepe, nyumba kubwa umetoka
Mie kwako kijikupe, ‘meamua kuondoka
Sitaki yako mikogo, na kwetu twala mihogo.
Nawewe pakamapepe, nyumba kubwa umetoka
Mie kwako kijikupe, ‘meamua kuondoka
Sitaki yako mikogo, na kwetu twala mihogo.
Pete yako yanibana
Si kwamba nakuchukiya, kuna kitu chanisibu
Umekuwa haramiya, menifanya niwe bubu
Wanishuku nina yahya, na mengine ya aibu
Pete yako yanibana, ni kheri nikutaliki.
Umekuwa haramiya, menifanya niwe bubu
Wanishuku nina yahya, na mengine ya aibu
Pete yako yanibana, ni kheri nikutaliki.
Funda chungu nalimeza, na chozi lakundodoka
Bezo zako sitaeza, umezidisha mahoka
Katu sioni mwangaza, yalo mbele ni mizuka
Pete yako yanibana, ni kheri nikutaliki.
Malenga Wa Nchi Kavu©2015
Bezo zako sitaeza, umezidisha mahoka
Katu sioni mwangaza, yalo mbele ni mizuka
Pete yako yanibana, ni kheri nikutaliki.
Malenga Wa Nchi Kavu©2015
Subscribe to:
Posts (Atom)

